forked from WA-Catalog/sw_tn
541 B
541 B
Kwa kuwa Yahwe anakubali njia ya watakatifu, bali njia ya waovu itapotea
Vishazi hivi viwili vinaonesha tofauti kwa yale yanayowatokea watu watakatifu na yale yanayowatokea watu waovu.
njia ya mwenye haki
Jinsi watu wanavyoishi inazungumziwa kama vile ni "njia" au "barabara" ambayo walikuwa wakitembea. "jinsi wenye haki wanavyoishi"
njia ya waovu itapotea
Hapa "njia" inamaanisha waovu, ambao kimafumbo wanatembea katika hiyo njia. "Waovu wataangamia kwa sababu ya njia yao" au "waovu watakufa kwa sababu ya jinsi wanavyoishi"