limejaribiwa
"ni kama chuma cha thamani ambacho kimetolewa uchafu wote"
yeye ni ngao kwa wale wanaokimbilia kwake
"anawalinda wale wanaokuja kwake na kumwomba awalinde "
kuongeza katika maneno yake
kusema maneno mengine zaidi ya yale aliyosema
utathibitishwa kuwa
"atathibitisha kuwa ume.."