forked from WA-Catalog/sw_tn
545 B
545 B
Ni nani ...chini?Ni nani...mikono?...Ni nani...kanzu? Ni nani....dunia?
"Hakuna mtu..."
mbinguni
ambako Mungu anaishi
kusanya upepo kwenye uwazi wa mikono yake
"kamata upepo katika mikono yake"
uwazi wa mkono yake
"mkono yake"
kusanya
rundika pamoja vitu vidogo vilivyotawanyika
imarisha miisho ya dunia yote
"ameweka mipaka ya ukomo wa dunia"
Jina lake ni nani, na jina la mwanae ni nani?
"niambie jina lake na jina la mwanae kama unawajua"
Hakika unajua!
"Sidhani kama unamjua mtu anayeweza kufanya mambo hayo"