humsifu jirani yake
humwambia jirani yake mambo ya uongo ili afanye makosa
hutandaza mtego katika miguu yake
"hutega mtego kumnasa mtu huyo"
katika dhambi ya mtu mwovu kuna mtego
Hutamani kufanya mabaya kwa watu wengine, lakini Mungu atayatumia matendo yake hayo kumwadhibu.