forked from WA-Catalog/sw_tn
473 B
473 B
aliyemwaga damu ya mtu
"aliyeua mtu"
mkimbizi
mtu anyekimbilia mbali kuogopa kuogopa kukamatwa
hadi kifo
"maisha yake yote"
yeye anayekwenda katika uaminifu atakuwa salama
"Mungu atamweka salama mtu ambaye huenenda katika uaminifu"
yeye
mtu yeyote ambaye
anayekwenda katika uaminifu
"huishi kwa uaminifu"
yeye mwenye njia ya udanganyifu
"mtu ambaye haishi kwa uaminifu"
ataanguka ghafula
"ataharibikiwa ghafula" au "ataangamia ghafula"