forked from WA-Catalog/sw_tn
585 B
585 B
Kama simba aungurumaye au dubu mwenye hasira ndivyo alivyo mtawala mwovu juu ya watu maskini
watu maskini ambao hawana msaidizi dhidi ya mtawala mwovu ni kama watu ambao simba anawaungurumia na dubu anawashambulia
dubu mweye hasira
dubu ni mnyama mkubwa mwenye manyoya mengi na ni hatari sana, ana makucha na meno makali
mtawala aliyepungukiwa ufahamu
"mtawala ambaye hana ufahamu"
mnyonyaji
mtu ambaye huwatendea watu kwa ukatili na kuyafanya maisha yao kuwa magumu
yeye achukiaye udhalimu
"yeye achukiaye kuwa dhalimu"
huongeza siku zake
huishi maisha marefu