forked from WA-Catalog/sw_tn
481 B
481 B
yeye ashikaye sheria
"yeye ambaye anatii sheria ya Mungu"
mwana mwenye ufahamu
"mwana anayefahamu"
warafi
"watu wanaokula sana"
humwaibisha baba yake
"humtia aibu baba yake"
hufanikiwa
"huongeza utajiri wake"
lipisha riba kubwa
"lipisha pesa ya ziada kwa kukopa"
riba
pesa inayolipwa na mkopaji kwa kutumia pesa ya mtu mwingine
hukusanya utajiri wake
"huleta mali zake pamoja"
kwa mwingine
"mtu mwingine"
huruma
"kumsikitikia mtu mwingine"