forked from WA-Catalog/sw_tn
478 B
478 B
Mtu mvivu husema , "kuna simba ....katikati ya njia kuu!"
Mtu mvivu hulala na husema kwamb hawezi kwenda nje na kufanya kazi kwa sababu kuna simba njiani au katikati ya njia kuu.
kuna simba njiani
angalia 22:13
bawaba
vipande vya chuma ambavyo huubana mlango kwenye ubao au kitu kingine ili kuweza kufunguka na kufanga
Kama mlango unavyorudi kwenye bawaba zake, ndivy o alivyo mtu mvivu juu ya kitanda chake
Mlango na mtu mvivu huzunguka lakini hawaendi popote.