forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
439 B
Markdown
25 lines
439 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla
|
|
|
|
Mistari hii ni mwendelezo wa "misemo thelathini"(22:20)
|
|
|
|
# Mwishoni
|
|
|
|
"baada ya kunywa"
|
|
|
|
# huuma kama nyoka ...choma kama kifutu
|
|
|
|
" hukufanya ujisikie vibaya kama umeumwa nyoka au kama kifutu amekuchoma"
|
|
|
|
# kifutu
|
|
|
|
aina ya nyoka mwenye sumu
|
|
|
|
# moyo wako utasema vitu vya kupotosha
|
|
|
|
"utafikiri na kuamua vitu vya kupotosha"
|
|
|
|
# vitu vya kupotosha
|
|
|
|
vitu ambayo Mungu amevitaja kuwa vibaya na viovu ; vitu ambavyo havifai
|
|
|