forked from WA-Catalog/sw_tn
516 B
516 B
mwenye dhihaka anapoadhibiwa
" mtu anapomwadhibu mwenye dhihaka"
mjinga
"bila uzoefu, asiye mkomavu, bado na hali ya uchanga"
mwenye dhihaka
"mtu anayewadhihaki wengine"
mwenye busara anapofundishwa
"mtu anapomfundisha mwenye busara"
hushika maarifa
maarifa yanaongelewa kama ni kifaa ambacho mtu kukisha na kuhifadhi kwa ajili yake.
mwenye haki
"mtu wa haki yeyote" au "Yahwe ambaye ni mwenye haki"
huangalia
" tafakari kwa makini"
watu waovu huleta kwenye maangamizi
"huwaangamiza"