mpige mwenye dhihaka, na mtu mjinga
"ukimpiga mwenye dhihaka, mtu mjinga"
mpige
"wadhibu"
mtu mjinga
mtu asiye na uzoefu, au "mtu ambaye bado mchanga"
busara
agalia 12:23
mwadibishe mwenye ufahamu, na
"kama utamwadibisha yule mwenye ufahmu"
atapata maarifa
"atajua zaidi"