forked from WA-Catalog/sw_tn
413 B
413 B
mtu mwenye hasira
"mtu ambaye hupata hasira upesi"
lazima alipe malipo ya kosa
" lazima apate madhara ya hasira yake" au "lazima abebe matokeo ya matendo yake wakati wa hasira"
kama utamwokoa
" kama utamaidia baada ya kupata hasira yake ya ghafla"
mara ya pili
"mara mbili" au "tena"
sikiliza ushauri na ukubali maelekezo
haya ni maneno ya kusisitiza umuhimu.
sikiliza
"zingatia ushauri"