forked from WA-Catalog/sw_tn
372 B
372 B
Maelezo ya Jumla
Mistari mingi katika sura ya 10 niulingafu sambamba
mithali za Sulemani
Baada ya utangulizi katika Sura 1-9, Sura ya 10 inaanza mafundisho ya mithali; misemo mifupi inayofundisha hekima.
kusanywa
jipatia kitu kwa kipindi
Yahwe hataiacha nafsi ya mtu mwenye haki kwenda njaa
"Yahwe huhakikisha kwamba wale watendao haki wanapata chakula"