forked from WA-Catalog/sw_tn
340 B
340 B
Matunda yangu
ambacho hekima huzalisha au husababisha
faida yangu
manufaa au faida ambayo hekima husababisha
Natembea katika njia ya haki
"Ninaishi kwa haki" au " Ninatenda ambacho ni haki"
katikati ya njia za uadilifu
"Ninafanya mambo makalifu" au "Ninatenda ambacho ni haki"
hazina
ghala kwa ajili ya vitu vya thamani