sw_tn/pro/04/20.md

241 B

sikiliza

"kusikiliza kwa umakini"

tega sikio lako kwenye kauli zangu

"sikiliza kwa usikivu kwa mambo amabyo ninakuambia"

usiache ziondoke kutoka machoni pako

"usiache kuzitafakari "

uzihifadhi moyoni mwako

"uzikumbuke daima"