forked from WA-Catalog/sw_tn
33 lines
567 B
Markdown
33 lines
567 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla
|
|
|
|
Baba anaendelea kuwafundisha watoto wake mambo ambayo yeye alifundishwa na baba yake
|
|
|
|
# Jipatie hekima
|
|
|
|
"fanya bidii kupata hekima kwa ajili yako mwenyewe" au "pata hekima"
|
|
|
|
# usiyasahau
|
|
|
|
"yakumbuke"
|
|
|
|
# usiyakatae
|
|
|
|
"kubali"
|
|
|
|
# maneno ya kinwa changu
|
|
|
|
"yale ninayonena"
|
|
|
|
# usimwache hekima na naye atakulinda; mpende na yeye atakuweka salama
|
|
|
|
Mwandishi ananena juu ya hekima kama mwanamke ambaye humlinda mtu ambaye ni mwaminifu.
|
|
|
|
# usimwache hekima
|
|
|
|
" ishikilie kwa nguvu kabisa hekima"au " uwe mwaminifu kwa hekima"
|
|
|
|
# mpende
|
|
|
|
" mpende hekima"
|
|
|