Maelezo ya Jumla
Mwandishi anaongea kama baba akimfundisha mtoto wake kwa kutumia shairi.
usizisahau amri zangu
"usiyasahau niyokuagiza"
yatunze mafundisho yangu ndani ya moyo wako
"Nilichokufundisha ukikumbuke daima"
wingi wa siku na miaka ya uzima
utaishi maisha marefu