Hufurahia
hawa ni watu waliotajwa katika 2:11
hufurahia katika upotevu wa uovu
wanafurahi kutenda mambo ambayo wanajua ni maovu
Hufuata njia za udanganyifu
huwadanganya watu wengine
na hutumia udanganyifu huficha mapito yao
na hudanganga ili mtu yeyote isifahamu jambo walilofanya