forked from WA-Catalog/sw_tn
518 B
518 B
Maelezo ya Jumla
mstari wa 33 unahitimisha kauli ya hekima ambayo ilianzia katika 1:20.
watakila matunda ya njia zao
"watapata madhara yanayotokana na matendo yao"
kwa matunda ya njama zao watashibishwa
"watateseka kwa mipango yao miovu"
wajinga
"bila uzoefu, isiyo kamavu/uchanga"
hufa wakati wanaporudi nyuma
"hufa kwa kuwa wanakataa kujifunza"
kutojali kwa wapumbavu kutawaangamiza
" wapumavu watakufa kwa sababu hawajali wanachopaswa kufanya"
kutojali
kukosa hamu juu ya jambo fulani