forked from WA-Catalog/sw_tn
33 lines
750 B
Markdown
33 lines
750 B
Markdown
# Taarifa za jumla
|
|
|
|
Bwana anaendelea kutoa Obadia ujumbe wake
|
|
|
|
# kuokoka
|
|
|
|
"kukimbia adhabu ya Bwana." Hawa ndio watu ambao bado wana uhai baada ya Bwana kuwaaadhibu.
|
|
|
|
# na hiyo
|
|
|
|
Neno "hilo" linamaanisha "mlima Sayuni."
|
|
|
|
# nyumba ya Yakobo ... Josephu ni moto
|
|
|
|
Bwana anafananisha nyumba za Yakobo na Yosefu kwa moto kwa sababu wao watamwangamiza Esau kama moto ambayo haraka na kuchoma kabisa majani.
|
|
|
|
# majani
|
|
|
|
"'majani" au "mchanga." Vipande vya kavu vya mimea ambazo zimeachwa baada ya nafaka huvunwa.
|
|
|
|
# na wao
|
|
|
|
Neno "wao" linamaanisha nyumba ya Yakobo na nyumba ya Yosefu
|
|
|
|
# watawachoma
|
|
|
|
Neno "wao" linamaanisha wana wa Esau, ambao ni taifa la Edomu
|
|
|
|
# Hakutakuwa na waathirika kwa nyumba ya Esau
|
|
|
|
"Hakuna mtu mmoja wa nyumba ya Esau ataokoka'"
|
|
|