forked from WA-Catalog/sw_tn
588 B
588 B
Taarifa kwa ujumla
Balaamu anaendelea kutabiri kwa uwezo wa Mungu
Wamesambaa kama bonde
Balaamu anawaongelea Waisraeli kuwa walikuwa wengi kiasi cha kulijaza bonde lote
kama bustani zilizo pembezonimwa mto
Balaamu anawaongelea Waisraeli kama bustani iliyomwagiliwa maji na itoayo mavuno menegi.
kama miti ya mishubiri iliyopandwa na Mungu
"Mishubiri ambayo BWANA ameipanda"
kama mfano wa mierezi pembezoni mwa maji
Mierezi ilikuwa miti mierfu sana huko Israeli. Balaamu anawaongelea Waisraeli kama mierezi iliyokuwa sana na kuwa miti mikubwa kwa sababu ya maji mengi.