forked from WA-Catalog/sw_tn
376 B
376 B
Kambi ya mahali pa uzao wa Yuda
Kambi hii inajumuisha makabila matatu chini ya kikosi cha Yuda: Yuda, Isakari na Zabuloni.
iliondoka ya kwanza
"iliondoka ya 1". Kirai cha w"aliondoka" kinamaanisha walifungasha vitu vya kambi yao na kuanza safari.
Nashoni mwana wa Aminadabu
Tazama 1:7
Nathanaeli mwana wa Zuari
Tazama 1:7
Eliabu mwana wa Heloni
Tazama 1:7