sw_tn/neh/11/13.md

17 lines
390 B
Markdown

# Ndugu zake
ndugu za Adaya, mwana wa Jerohamu (11"10).
# ndugu
Neno hili ni mfano kwa 1) Waisraeli wenzake au 2) watu ambao walifanya kazi hiyo hiyo. AT "washirika" au "wafanyakazi wenzake"
# Maasai ........Azareli.....Azai, .....Meshilemothi, .....Imeri.....Zabdieli....Hageoli.
Haya ni majina ya wanaume.
# wapiganaji wenye ujasiri
"wapiganaji mashujaa" au "mashujaa wa ujasiri"