forked from WA-Catalog/sw_tn
646 B
646 B
Sentensi unganishi
Katika aya hizi, Walawi wanaendelea kumsifu Bwana mbele ya watu wa Israeli.
walipumzika, wakafanya mabaya tena mbele yako
Hapa "wao" inawakilisha Waisraeli na "wewe" kwa Bwana.
ukawaacha mikononi mwa adui zao
Hapa neno "mkono" (sehemu) linaashiria "adui" (kwa ujumla) kufanya madhara. AT "umeruhusu adui zao kuwadhuru"
hawakusikiliza amri zako
Ikiwa lugha yako ina neno la "sikiliza" ambayo pia inamaanisha "utii," tumia hapa.
amri zako ambazo huwapa uzima mtu yeyote anayewatii
Bwana mwenyewe anasemwa kama kwamba yeye alikuwa na amri wenyewe. AT "hata kama wewe huwapa uzima kila mtu anayeitii amri zako"