forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
385 B
Markdown
25 lines
385 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Katika aya hizi, Walawi wanaendelea kumsifu Bwana mbele ya watu wa Israeli.
|
|
|
|
# Uliwapa falme
|
|
|
|
Bwana akawapa Waisraeli falme .
|
|
|
|
# Uliwapa falme na watu
|
|
|
|
"aliwawezesha kushinda falme na watu"
|
|
|
|
# ukawapa kila kona ya nchi
|
|
|
|
"kuwawezesha kumiliki kila sehemu ya ardhi"
|
|
|
|
# Sihoni .....Ogu
|
|
|
|
Haya ni majina ya wafalme.
|
|
|
|
# Heshboni....Bashani
|
|
|
|
Haya ni majina ya maeneo.
|
|
|