atakuvunja vipande vipande
rejea kwenye fasiri ya 2:1
anawaita maafisa wake
inaweza kumaanisha: 1. "anawakusanya maafisa wake" au 2. " anafikiria juu ya maafisa wake"
wana...kwao... hawa...
askari ambao wataushambulia Ninawi
katika kutembea kwao
"wanapotembea"