sw_tn/nam/02/05.md

277 B

atakuvunja vipande vipande

rejea kwenye fasiri ya 2:1

anawaita maafisa wake

inaweza kumaanisha: 1. "anawakusanya maafisa wake" au 2. " anafikiria juu ya maafisa wake"

wana...kwao... hawa...

askari ambao wataushambulia Ninawi

katika kutembea kwao

"wanapotembea"