sw_tn/mrk/10/35.md

248 B

tu...tu

Haya maneno urejea peke yake kwa Yakobo na Yohana

katika utukufu wako

"wakati ambapo unatukuzwa." Maneno haya "utukufu wako" urejea wakati Yesu anatukuzwa na kutawala katika ufalme wake. "wakati ambapo unaongoza katika ufalme wako"