forked from WA-Catalog/sw_tn
558 B
558 B
Walipokuwa ndani
"Wakati ambapo Yesu na wanafunzi walikuwa"
ndani ya nyumba
Wanafunzi wake Yesu walikuwa wakizungumza naye kwa faragha. walikuwa peke yao ndani ya nyumba"
wakamwuliza tena kuhusu hili
Neno "hili" urejea kwa mazungumzo aliyokuwa nayo Yesu pamoja na Mafarisayo kuhusu talaka.
Yeyote
"kama mtu yeyote"
anafanya uzinzi dhidi yake
Hapa "yake" urejea kwa mwanamke aliyemuoa kwanza
anafanya uzinzi
Inaweza kuwa msaada kuongeza taarifa zilizosahaulika. "anafanya uzinzi dhidi yake" au "anafanya uzinzi dhidi ya mme wa kwanza"