sw_tn/mrk/10/10.md

558 B

Walipokuwa ndani

"Wakati ambapo Yesu na wanafunzi walikuwa"

ndani ya nyumba

Wanafunzi wake Yesu walikuwa wakizungumza naye kwa faragha. walikuwa peke yao ndani ya nyumba"

wakamwuliza tena kuhusu hili

Neno "hili" urejea kwa mazungumzo aliyokuwa nayo Yesu pamoja na Mafarisayo kuhusu talaka.

Yeyote

"kama mtu yeyote"

anafanya uzinzi dhidi yake

Hapa "yake" urejea kwa mwanamke aliyemuoa kwanza

anafanya uzinzi

Inaweza kuwa msaada kuongeza taarifa zilizosahaulika. "anafanya uzinzi dhidi yake" au "anafanya uzinzi dhidi ya mme wa kwanza"