forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
691 B
Markdown
21 lines
691 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Mwandishi anaendelea kutoa maelezo ya nyumba kuhusu Herode na kukatwa kichwa Yohana mbatizaji.
|
|
|
|
# akawaandalia moafisa wake karamu... Galilaya
|
|
|
|
Hapa neno "aka" urejea kwa Herode na maneno mbadala kwa mtumwa wake ambaye angeweza kumwamuru kuandaa karamu. " alikuwa na chakula kilichokuwa kimaandaliwa kwa ajili ya maofisa... wa Galilaya" au alikuwa amealika maofisa wake... wa Galilaya kuwa na kufurahi pamoja naye"
|
|
|
|
# Chakula
|
|
|
|
chakula cha kawaida au dhifa
|
|
|
|
# Binti wake mwenyewe Herode
|
|
|
|
Neno "wake mwenyewe"ni nomino inayotumiwa kusisitiza kwamba ilikuwa ni muhimu alikuwa ni binti wake Herode aliye cheza wakati wa karamu.
|
|
|
|
# alikuja ndani
|
|
|
|
"alikuja ndani ya chumba"
|
|
|