forked from WA-Catalog/sw_tn
333 B
333 B
ndani ya mtumbwi
"ndani ya mtumbwi wao"
kutayarisha nyavu
"kushona nyavu"
aliwaita wao
Inaweza kuwa msaada kusema wazi kwanini Yesu alimwita Yakobo na Yohana. AT: "aliwaita wao waje naye"
watumishi waliokodiwa
"watumishi ambao walifanya kazi kwa ajili yao"
walimfuata
"Yakobo na Yohana walikwenda pamoja na Yesu"