forked from WA-Catalog/sw_tn
431 B
431 B
Alimwona Simoni na Andrea
"Yesu alimuona Simoni na Andrea"
kutupa nyavu baharini
Maana pana ya sentensi hii inaweza kuwekwa wazi. AT: "kutandaza wavu katika maji kushika samaki"
Njoo, nifuate mimi
"Nifuate mimi" au "njoo nami"
Nitawafanya kuwa wavuvi wa watu
Huu mfano humaanisha Simoni na Andrea watawafundisha watu ujumbe wa kweli wa Mungu, ili wengine wamfuate Yesu. AT: "Nitakufundisha namna ya kuwapata watu"