forked from WA-Catalog/sw_tn
405 B
405 B
Nimepewa mamlaka yote
"Baba yangu amaenipa mamlaka yote"
dunuani na mbinguni
"Mbingini" na "duniani"zimetumika pamoja kumaanisha kila kitu na kila mmoja duniani na mbinguni.
mataifa yote
Hapa "mataifa" inamaanisha watu. "kwa watu wote kwa kila taifa"
kwa jina
Hapa "jina" linamaanisha mamlaka. 'kwa mamlaka"
Baba ... Mwana
hIvi ni vyeo maalumu vinavyoonesha uhusiano wa Yesu na Mungu.