forked from WA-Catalog/sw_tn
348 B
348 B
kwa kuwa mnafanana na makaburi yaliyopakwa chokaa... kichafu
hii ni kejeli inayoonesha kuwa Mafarisayo na waandishi wanaonekana kuwa safi nje, lakini ndani ni wachafu
makaburi yaliyopakwaa chokaa
"makaburi ambayo mtu ameyapaka chokaa" Wayahudi walipakaa makaburi kwa chokaa ili kuepusha kuyagusa. Kugusa kaburi ilihesabiwa kuwa ni unajisi.