forked from WA-Catalog/sw_tn
647 B
647 B
Na
"na ninyi pia husema"
si kitu
"hakuna haja ya kulinda kiapo chake"
sadaka
ni mnyama au nafaka ambayo mtu anaweza kuileta kwa Bwana na kuiweka madhabahuni
amefungwa na kiapo chake
"lazima afanye kile alichoahidi kufanya"
Watu vipofu.
Viongozi wa Kiyahudi walikuwa vipofu kiroho. Ingawa walijidhania kuwa walimu, hawakuwaeza kuuelewa ukweli wa Mungu
Kipi ni kikubwa kuliko kingine, sadaka, au madhabahu ambayo huweka wakfu sadaka zinazotolewa kwa Mungu?
"Madhabahu ambayo huzifanya sadaka kuwa takatifu ni kuu kuliko sadaka
"madhabahu ambayo huweka wakfu sadaka"
madhabahu ambayo huziweka sadaka kuwa rasmi kwa Mungu"