forked from WA-Catalog/sw_tn
636 B
636 B
walioruhusiwa
wale ambao Mungu amewaruhusu au ambao Mungu huwaruhusu
kwa kuwa wapo matowashi waliozaliwa tokea tumboni mwa mama
kwa kuwa kuna wanaume waliozaliwa kuwa matowashi
Matowashi waliojifanya matowashi
kuna matowashi waliofanywa kuwa matowashi
kuna matowashi waliojifanya kuwa matowashi
inawweza kumaanisha 1)wanaume waliojifanya wenyewe kwa kutoa sehehmu zao za siri 2) wanaume waliochagua kutokuoana ni wasafi katika swala la zinaa.
kwa ajili ya ufalme wa mbinguni
ualame wa mbinguni inamaanisha Mungu kutawala kama mfalme
Pokea mafundisho haya...pokea
Anayeweza kupokea mafundisho haya na ayapokee."