forked from WA-Catalog/sw_tn
938 B
938 B
Sentensi unganishi
Yesu anamalizia mfano wake juu ya msamaha na upatanishi
Maelezo kwa ujumla
Huuni mwaisho wa shsemu y a simulizi iliyoanzia 18:1 mahali ambapo Yesu anafundisha juu ya maisha katika ufalme wa mbinguni.
Bwana wake
"Mfalme"
kumkabidhi kwa
"alimtoa kwa" inawezekena kuwa mfalme mwenyewe hakumkabidhi yule mtumwa wa kwanza kwa watesaji," "Aliwaagiza watumwa wake wamkabidhi"
kwa watesaji
"kwa wale ambao wangemtesa"
alichokuwa anadaiwa
Hii inaweza kutafasiriwa kwa mafumo tendaji. Kile ambacho mfalme alimdai yule mtumwa wa kwanza"
baba yangu wa mbinguni
Hiki ni cheo muhimu kwa Mungu kinachoonesha uhusiano kati ya Mungu ya Yesu.
mmoja wenu ... kwenu
Viwakilishi vyote hivi viko katika wingi. Yesu anaongea na wanafunzi wake, lakini mfanohuu unafundisha ukweli ambao unaweza kutumiwa na waamini wote
ndugu yake
"ndugu yake"
moyoni mwenu
Hii ni nahau. "kwa ukweli" au "kwa ukamilifu"