forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
596 B
Markdown
29 lines
596 B
Markdown
# Tazameni
|
|
|
|
Muwe waangalifu
|
|
|
|
# musiwadharau hawa wadogo
|
|
|
|
"Msidhani kuwa hawa wadogo hawana umuhimu". onyesheni heshima kwa hawa wadogo
|
|
|
|
# kwa maana nawaambia
|
|
|
|
hii inatia msisitizo kwa kile Yesu alichosema baadaye
|
|
|
|
# mbinguni kuna malaika wao siku zote wakiutazama uso wa baba yangu aliye mbinguni
|
|
|
|
Yesu anammanisha kuwa malaika wa mbinguni humwambia Mungu juu ya wadogo hawa
|
|
|
|
# Muda wote tazama uso wa
|
|
|
|
"wapo karibu muda wote"
|
|
|
|
# siku zote wakiutazama uso wa baba yangu
|
|
|
|
kila mara wako karibu na baba yangu"
|
|
|
|
# baba yangu
|
|
|
|
Hiki ni cheo muhimu kwa Yesu kinachonesha uhsiano kati ya Yesu na Mungu
|
|
|