forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
494 B
Markdown
17 lines
494 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Yesu anahitimishas mfano wa magugu yalyokua pamaoja na ngano shambani
|
|
|
|
# Mwenye shamba akasema
|
|
|
|
"Mwenye shamba akasema kwa watumishi"
|
|
|
|
# nitasema kwa wavunaji, 'kwanza yang'oeni magugu na yafungeni matita matita na kuyachoma, lakini kusanyeni ngano katika ghala langu,"
|
|
|
|
"Nitawaambia wavunaji kwanza kuyakusanya magugu na kuyafunga matita matita na kuyachoma, kisha kusanyeni ngano katika ghala langu"
|
|
|
|
# ghala
|
|
|
|
Jengo la shambani ambalo lilitumika kwa kukusanyia nafaka.
|
|
|