forked from WA-Catalog/sw_tn
718 B
718 B
Sentensi unganishi
Yesu anamaliza mfano wa mpanzi
zilianguka katai ya miti ya miiba
"zilianguka mahali ambapo miiba na mimea hukua"
ikaisonga
"ikaisinga ile mimea mipya" tumia neno lako magugu kuzuia mimea mingine kukua vizuri.
kuzaa mbegu
"kuzaa mazao" au "kuzalisha mbegu zaidi" au kutoa matunda"
zingine maramiamoja zadi, zingine sitini, na zingine thelathini
unaweza kuiweka vizuri zaidi katika maana inayoeleweka
mia moja ... sitini ... thelathini
"100 ... 60 ... 30"
aliye na masikio
Hii ni njia inayomaaisha kwa kila anayesikiliza. "Kila anayenisikilza." Tazamaulivyotafsiri katika 11:13
asikie
Hapa "kusikia" inamaanisha kuwa msikivu. "lazima awe makini na kile ninachokisema"