forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
550 B
Markdown
25 lines
550 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Hapa Mthayo anamnukuu nabii Isaya kuonesha kuwa huduma ya Yesu ilitimiza unabii
|
|
|
|
# Tazama
|
|
|
|
"Angalia." Mungu alitumia neno hili kumleta mtu mwingine
|
|
|
|
# mpe ...Nita
|
|
|
|
Viwakilishi vyote vinamrejelea Mungu. Isaya ananukuu kile ambacho Mungu alimwambia
|
|
|
|
# katika yeye nafsi yangu imependezwa
|
|
|
|
Hapa "nafsi" inamanisha nafasi kamil. "na nimependezwa naye"
|
|
|
|
# na atatangaza
|
|
|
|
"na mtumishi wangu atatangaza"
|
|
|
|
# atatangaza hukumu
|
|
|
|
Hapa "hukumu" haimaanishi "adhabu" inamaanisha mtumishi atawambia mtaifa Mungu ni mwenye haki, na atawaokoa
|
|
|