forked from WA-Catalog/sw_tn
533 B
533 B
Sentensi unganishi
Yesu anaendelea kuwaelekeza wanafunzi wake kuhusu sababu kutohofia dhiki ambayo itawapata.
Msifikiri
"Msidhani" au "msilazimike kufikiri"
duniani
Hii inamaanisha watu wanaoishi duniani. "kwa watu wa duniani" au "kwa watu"
upanga
Hii inamaanisha mgawanyiko, mapigano, na mauji kati ya watu
weka
"kugeuka" au "kugawanya" au "kutenganisha"
mtu dhidi ya baba yake
"mwana dhidi ya baba yake"
Adui wa mtu
"Adui wa mtu" au "Adui mbaya wa mtu"
wale wa nyumbani mwake
"watu wa familia yake"