forked from WA-Catalog/sw_tn
364 B
364 B
Maelezo yanayounganisha
Mwandhishi anahitimisha ukoo wa Yesu, ambayo yalianza katika Mat.1: 1
Mariamu, ambaye kwa yeye Yesu alizaliwa
Mariamu, ambaye alimzaa Yesu
Aitwaye Kristo
Hii inaweza kuelezwa kwa namna iliyo hai. "watu ambao humwita Kristo."
Kumi na nne
"14"
kuchukuliwa kwenda Babeli
Tumia maneno yale yale uliyotumia katika Mat.1:9.