forked from WA-Catalog/sw_tn
509 B
509 B
Yesu mwenyewe
Neno "mwenyewe" linakazia juu ya Yesu na mshangao wa Yesu kiuhakika kuwatokea. Wengi wao walikuwa hawajamuona baada ya ufufuko wake.
katikati yao
Tafsiri mbadala: "mahali ambapo wote wanaweza kumuona"
Amani iwe kwenu
"Basi iweni na amani" au "Basi Mungu awape amani!"
waliogopa na kujawa na hofu
"walishikwa na mshangao na kuogopa"
wakafikiri kwamba waliona roho
Walikuwa hawajaelewa kiuhalisia kwamba Yesu kwelikweli yu hai.
roho
Hapa inamaanisha roho ya mtu aliyekufa.