forked from WA-Catalog/sw_tn
13 lines
366 B
Markdown
13 lines
366 B
Markdown
# Mfarisayo akasimama, akasali mambo haya juu yake mwenyewe
|
|
|
|
Maana kwenye maneno ya Kigiriki haipo wazi. inaweza kuwa na maana 1) "Mfarisayo alisimama akaomba juu yake mwenyewe kwa njia hii" au 2) Mfarisayo alisimama pekeyake na akasali."
|
|
|
|
# Majambazi
|
|
|
|
Jambazi ni mtu anayeiba vitu kwa kumlazimisha mtu ampe au kwa kumtishia kwa nguvu.
|
|
|
|
# Ninayopata
|
|
|
|
"Ninayopokea"
|
|
|