forked from WA-Catalog/sw_tn
498 B
498 B
Kama ndugu yako akikosa
Hii kauli inaonyesha kwamba tukio hilo pengine litatokea katika siku zijazo.
ndugu yako
"ndugu" hapa limetumika kwa maana ya mtu aliye na imani sawa. "mwamini mwenzetu"
Mkemee
"kumwambia kwanguvu kwamba aliyoyafanya ilikuwa ni makosa" au "msahishe"
Na kama akikukosea mara saba
Hii inaonyesha inaweza isitokee ila kama ikitokea Yesu anawaambia watu wasamehe.
mara saba kwa siku
namba saba katika Biblia ni ishara ya ukamilifu. "mara nyingi katika siku"