forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
538 B
Markdown
21 lines
538 B
Markdown
# Ujumbe wa kuunganisha
|
|
|
|
Yesu anaanza kusema kwa wanafunzi wake.
|
|
|
|
# Mmepewa upendeleo wa kujua
|
|
|
|
"MUngu amewapa ninyi zawadi ya kuelewa" au "Mungu amewafanya watu kuelewa"
|
|
|
|
# siri ya ufalme wa Mungu
|
|
|
|
Hizi ni kweli kwamba zimejificha lakini Yesu aliwafunulia.
|
|
|
|
# wakiona wasione
|
|
|
|
"kupitia wanachoona, hawatajua." "kupitia wanavyoona vitu, hawatavielewa" au "kupitia wanavyoona vitu vikitokea, hawataelewa vina maanisha nini."
|
|
|
|
# wakisikia wasielewe
|
|
|
|
"Kupitia wanavyosikia hawatelewa." "kupitia wanavyosikia maelekezo, hawataelewa ukweli."
|
|
|