forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
631 B
Markdown
17 lines
631 B
Markdown
# Alimshangaa
|
|
|
|
"alimshanga akida"
|
|
|
|
# nawaambia
|
|
|
|
Yesu alisema haya kusisitiza maajabu ambayo anataka kuwaambia.
|
|
|
|
# hata katika Israel sijawahi kuona imani kubwa hivi
|
|
|
|
maana yake ni kuwa Yesu alitarajia wayahudi kuwa na imani kama hii, lakini hawakuwa hivyo. Hakuwatajia wamataifa kuwa na imani ya namna hii, lakini huyu mtu amekuwa na imani hiyo. Unaweza kuongeza taarifa iliyofichika. NI: "sijaona mwisraeli yeyote anaye niamini kwa kiasi kama mmataifa huyu!" (UDB)
|
|
|
|
# wale waliokuwa wametumwa
|
|
|
|
Ilifahamika kwamba hawa walikuwa watu waliotumwa na akida. Hii inaweza kusemwa NI: "watu ambao watawala wa Rumi waliowatuma kwa Yesu"
|
|
|