forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
935 B
Markdown
29 lines
935 B
Markdown
# aliendelea kwenye njia yake
|
|
|
|
"alienda"
|
|
|
|
# siyo mbali kutoka kwenye nyumba
|
|
|
|
kauli hasi hizi zinaweza kubadilishwa. NI: "karibu na nyumba"
|
|
|
|
# Usijisumbue mwenyewe
|
|
|
|
Akida alikuwa anaongea kwa upole kwa Yesu. NI: "Usijisumbue mwenyewe kwa kuja nyumbani kwangu" au "Sitaki kukuudhi"
|
|
|
|
# Ingia chini ya dari yangu
|
|
|
|
Kirai hiki ni nahau inayo maanisha "Njoo ndani ya nyumba yangu." Kama lugha yako ina nahau inayomaanisha "Njoo kwenye nyumba yangu" fikiri kama ina weza kuwa nzuri kuweka hapa."
|
|
|
|
# sema neno tu
|
|
|
|
Mtumishi alijua kuwa Yesu atamponya yule mtumishi kwa kusema tu. Hapa "neno" linarejea kuamuru. NI: "toa tu agizo"
|
|
|
|
# Mtumishi wangu atapona
|
|
|
|
Neno lililotumiwa kutafsiri hapa kama "Mtumishi" mara nyingi limetafsiriwa kama "Mvulana" inaweza kuonyesha ishara kuwa mtumishi alikuwa kijana mdogo au inaonyesha ufanisi wa akida kwake.
|
|
|
|
# kwa mtumishi wangu
|
|
|
|
Neno lililotafsiriwa hapa kama "mtumishi" ni neno la kawaida kwa mtumishi.
|
|
|