forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
770 B
Markdown
29 lines
770 B
Markdown
# ncha ya juu sana
|
|
|
|
Hii ilikuwa ni ncha kwenye paa la hekalu. Kama mtu akianguka kutokea kule, angejeruhiwa sana au kufa.
|
|
|
|
# Kama wewe ni mwana wa Mungu
|
|
|
|
shetani alikuwa anamkosoa Yesu athibitishe kwamba alikuwa Mwana wa Mungu
|
|
|
|
# Mwna wa Mungu
|
|
|
|
Hiki ni cheo mhimu kwaajili ya Yesu.
|
|
|
|
# jitupe mwenyewe chini
|
|
|
|
"ruka chini ardhini"
|
|
|
|
# Kwa kuwa imeandikwa
|
|
|
|
Ibilisi anamaanisha kwamba nukuu yake kutoka Zaburi inamaanisha Yesu hataumia kama ni Mwana wa Mungu. Hii inwaeza kusemwa wazi, kama inavyofanya UDB. NI: "Hutaumia" sababu imeandikwa"
|
|
|
|
# imeandikwa
|
|
|
|
Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. NI: "mwandishi ameandika"
|
|
|
|
# Yeye atatoa maagizo
|
|
|
|
"Yeye" inarejea kwa Mungu. Ibilisi kwa sehemu alinukuu kutoka Zaburi kwa juhudi kumshawishi Yesu kuruka kutoka juu ya jengo.
|
|
|