forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
647 B
Markdown
25 lines
647 B
Markdown
# Sasa ilitokea katika hiyo siku ya nane
|
|
|
|
"Sasa wakati mtoto akiwa na siku nane" au NI: "Ndipo, siku ya nane baada ya mtoto kuzaliwa"
|
|
|
|
# wao
|
|
|
|
Hii huenda wanarejea kwa Zakaria na rafiki na ndugu wa Elizabethi.
|
|
|
|
# kumtahiri mtoto
|
|
|
|
Hii ilikuwa sherehe ya kawaida wakati mtu alipokuwa anamtahiri mtoto rafiki zake wapaswa kuwa hapo kusherehekea pamoja na hiyo Familiya. NI: "sherehe kwaajili ya kutahiriwa kwa mtoto."
|
|
|
|
# Wangeliweza kumwita yeye
|
|
|
|
"Walikuwa wanaenda kumwita yeye" au "Walitaka kumwita yeye jina." Hii ilikuwa desturi ya kawaida.
|
|
|
|
# kama jina la baba yake
|
|
|
|
"jina la baba yake"
|
|
|
|
# kwa jina hili
|
|
|
|
"kwa jina hilo" au "kwa jina lilelile"
|
|
|